TEC yabariki Uchaguzi Mkuu, yakemea vitendo vya utekaji,kupotea watu. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limebariki Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, likiwataka Watanzania kushiriki kwa amani, ...
Idara ya Uhamiaji nchini imewaondosha raia wawili wa kigeni waliobainika kukiuka masharti ya viza za matembezi, kinyume na sheria za nchi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Oktoba 14, 2025 na ...
Tanzania Joy Women Entrepreneurship for the Deaf is empowering deaf women to become business leaders, breadwinners, and changemakers in their communities. DAR ES SALAAM, Oct. 11 (Xinhua) -- In ...
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema siku ya Alhamisi, Oktoba 23, kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Urusi na Marekani ni "vikubwa" lakini havitakuwa na "athari kubwa" katika uchumi wa nchi. Pia ...
Kote Afrika Mashariki na Kusini, mamilioni ya wanawake huanza siku zao mapema sana kabla hata ya jua kuchomoza. Huteka maji, huandaa chakula, kuwalea watoto na wazee, kusaidia wanajamii wenye ulemavu ...
Shinikizo la kimataifa dhidi ya Israel inayoendesha vita vyake vinavyoelezwa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa kuwa mauaji ya kimbari kwenye Ukanda wa Gaza, linazidi kuongezeka. Kwa mujibu wa taarifa ...
Magari ya kijeshi ya Israel yameendelea kuingia ndani ya vitongoji vya Gaza City, yakilenga maeneo ya Sabra, Tel Al-Hawa, na Al-Naser. Mashahidi wanasema mamia ya maelfu ya raia bado wamekwama, huku ...
LONDON, ENGLAND: MASTAA Martin Zubimendi na Ben White wanampa presha kocha Mikel Arteta baada ya kudaiwa kuwa majeruhi wakati kikosi cha Arsenal kikijiandaa na mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya ...
Idara ya Uhamiaji nchini imewaondosha raia wawili wa kigeni waliobainika kukiuka masharti ya viza zao za matembezi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo, Oktoba 14, 2025 na Msemaji wa Idara ya ...
Mwanaume anapiga kura yake wakati wa uchaguzi wa mitaa Tanzania kwenye kituo cha kupigia kura Kigoma, tarehe 27 Novemba, 2024. Serikali ya Tanzania imezidisha ukandamizaji wa kisiasa, Kuibua hatari na ...
Israel inatarajia mateka kuachiliwa Jumatatu asubuhi;Trump akijiandaa kwa ziara ya Mashariki ya Kati
Msemaji wa serikali ya Israeli Shosh Bedrosian ameviambia vyombo vya habari kwamba tumebakisha saa kadhaa kabla ya kuachiliwa kwa "mateka wetu wote". Na Asha Juma Chanzo cha picha, AFP Mamlaka nchini ...
Zaidi ya watu bilioni 1 duniani wanaishi na hali ya afya ya akili. Kuna mikakati ya gharama nafuu, madhubuti na inayowezekana ya kuimarisha, kulinda na kurejesha afya ya akili. Uhitaji wa kuchukua ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results