Magari ya kijeshi ya Israel yameendelea kuingia ndani ya vitongoji vya Gaza City, yakilenga maeneo ya Sabra, Tel Al-Hawa, na Al-Naser. Mashahidi wanasema mamia ya maelfu ya raia bado wamekwama, huku ...
Msemaji wa serikali ya Israeli Shosh Bedrosian ameviambia vyombo vya habari kwamba tumebakisha saa kadhaa kabla ya kuachiliwa kwa "mateka wetu wote". Na Asha Juma Chanzo cha picha, AFP Mamlaka nchini ...
Shinikizo la kimataifa dhidi ya Israel inayoendesha vita vyake vinavyoelezwa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa kuwa mauaji ya kimbari kwenye Ukanda wa Gaza, linazidi kuongezeka. Kwa mujibu wa taarifa ...
Nchini Mali, maafisa kumi na mmoja wa vyeo vya juu, wakiwemo majenerali wawili, wamefutwa kazi jeshini. Uamuzi huo ulitolewa kwa agizo mnamo Oktoba 8, 2025, na rais wa mpito, Jenerali Assimi Goïta.
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema siku ya Alhamisi, Oktoba 23, kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Urusi na Marekani ni "vikubwa" lakini havitakuwa na "athari kubwa" katika uchumi wa nchi. Pia ...
Mwanaume anapiga kura yake wakati wa uchaguzi wa mitaa Tanzania kwenye kituo cha kupigia kura Kigoma, tarehe 27 Novemba, 2024. Serikali ya Tanzania imezidisha ukandamizaji wa kisiasa, Kuibua hatari na ...
Kuna tofauti nyingi kati ya nchi zilizoendelea na nchi masikini, lakini moja ya tofauti hizo ni ile inayohusu ajira au kazi. Kwenye nchi za dunia ya kwanza, kuna wingi wa ajira na uhaba wa watu. Na ...
The Independent Commission for Infrastructure (ICI) on Friday said it would withhold from the public the recordings of its previous hearings on the flood control corruption probe despite its decision ...
BBC Media Action is the BBC’s international charity. In a world of disinformation, distrust and division, we share the BBC’s values, skills and experience to bring people together, and foster greater ...
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekabidhi vyuo vinne vya Ufundi Stadi na Huduma kwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), vilivyopo Njombe, Simiyu, Rukwa na ...
Ni wiki ya mshikemshike jijini Dodoma ambako vikao vya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakapokutana kujadili majina ya watiania wa nafasi za ubunge/uwakilishi na udiwani yaliyopitishwa ...